• HABARI MPYA

    Thursday, July 21, 2016

    RONALDO FUNDI HADI KWENYE MAJI, SIYO UWANJANI TU!

    Cristiano Ronaldo akiendesha boti katika bahari ya Mediterranean visiwa vya Ibiza. Ronaldo yupo mapumziko baada ya kuiwezesha timu yake ya taifa, Ureno kutwaa Kombe la Euro 2016 nchini Ufaransa na atajiunga na klabu yake, Real Madrid wiki ijayo  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO FUNDI HADI KWENYE MAJI, SIYO UWANJANI TU! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top