• HABARI MPYA

    Monday, July 25, 2016

    MBEYA CITY YASAINI STRAIKA HATARI LA BURUNDI, ANAITWA MURUTABOSE

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Murutabose Mohamed 'Muruta' akiwa na jezi ya Mbeya City baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili akitokea Bujumbura City ya Bujumbura. Mchezaji huyo ameibukia akademi ya Lydia Ludic Bujumbura (LLB) na ameanza kuchezea timu za vijana za Burundi kuanzia U-17, U-20 na sasa U-23 akiwa tayari ameanza kuitwa timu ya wakubwa na amecheza mechi nne Int'hamba Murugamba
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MBEYA CITY YASAINI STRAIKA HATARI LA BURUNDI, ANAITWA MURUTABOSE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top