Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Murutabose Mohamed 'Muruta' akiwa na jezi ya Mbeya City baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili akitokea Bujumbura City ya Bujumbura. Mchezaji huyo ameibukia akademi ya Lydia Ludic Bujumbura (LLB) na ameanza kuchezea timu za vijana za Burundi kuanzia U-17, U-20 na sasa U-23 akiwa tayari ameanza kuitwa timu ya wakubwa na amecheza mechi nne Int'hamba Murugamba
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment