Nyota wa Leicester City, Riyad Mahrez akimtoka beki wa Celtic, Emilio Izaguirre katika mchezo wa Kombe la Kimataifa la Mabingwa leo Uwanja wa Parkhead mjini Glasgow, Scotland. Leicester ilishinda kwa penalti 6-5 baada ya sare ya 1-1 Riyad Mahrez akianza kuifungia Leicester kabla ya Eoghan O'Connell kuiswazishia Celtic. Katika penalti, Ciftci, Johansen, Allan, O'Connell, Christie waliifungia Celtic huku ya Forrest ikiokolewa na upande wa Leicester waliofunga ni Fuchs, Wasilewski, Drinkwater, Chilwell, Okazaki na Amartey PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three transfer windows. 43 players signed. £300million blown. How
Nottingham Forest lost the plot
-
IAN HERBERT: No fewer than 43 players have arrived for close to £300m
across three transfer windows and Monday there were consequences - a
four-point deduc...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment