• HABARI MPYA

    Sunday, July 31, 2016

    REAL MADRID YAICHAPA CHELSEA 3-2 KWA MBINDE MAREKANI

    Marcelo akifurahi baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Michigan mjini Ann Arbor, Marekani. Bao lingine la Real limefungwa na  Mariano wakati ya Chelsea yamefungwa na Eden Hazard PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID YAICHAPA CHELSEA 3-2 KWA MBINDE MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top