• HABARI MPYA

    Saturday, July 23, 2016

    DAVID MOYES KOCHA MPYA SUNDERLAND, ACHUKUA MIKOBA YA SAM ALLARDYCE

    Kocha David Moyes akiwa ameshika jezi ya Sunderland leo baada ya kusaini mkataba wa miaka minne kufundisha klabu hiyo akirithi mikoba ya Sam Allardyce aliyechukuliwa na FA kufundisha timu ya taifa ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DAVID MOYES KOCHA MPYA SUNDERLAND, ACHUKUA MIKOBA YA SAM ALLARDYCE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top