Mshambauliaji wa Manchester United, Memphis Depay akinyoosha mguu kuufikia mpira kwenye himaya ya beki wa Borussia Dortmund, Sokratis Papastathopoulos katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Shanghai, China. Dortmund walishinda 4-1, mabao yao yakifungwa na Castro mawili dakika ya 19 na 86,Pierre-Emerick Aubameyang kwa penalti dakika ya 36 na Ousmane Dembele dakika ya 57, wakati la United lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment