Mchezaji wa Arsenal, Alex Iwobi akimiliki mpira mbele ya Deme N'Diaye wa Lens ya Ligue 2 Ufaransa katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Stade Bollaert-Delelis. Timu hizo zilitoka sare ta 1-1, Lens wakitangulia kwa bao la Mathias Autret dakika ya 38, kabla ya Alex Oxlade-Chamberlain kuisawazishia The Gunners dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three transfer windows. 43 players signed. £300million blown. How
Nottingham Forest lost the plot
-
IAN HERBERT: No fewer than 43 players have arrived for close to £300m
across three transfer windows and Monday there were consequences - a
four-point deduc...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment