• HABARI MPYA

    Friday, July 22, 2016

    ARSENAL YATOA SARE NA 'KITIMU' CHA DARAJA LA PILI UFARANSA

    Mchezaji wa Arsenal, Alex Iwobi akimiliki mpira mbele ya Deme N'Diaye wa Lens ya Ligue 2 Ufaransa katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Stade Bollaert-Delelis. Timu hizo zilitoka sare ta 1-1, Lens wakitangulia kwa bao la Mathias Autret dakika ya 38, kabla ya Alex Oxlade-Chamberlain kuisawazishia The Gunners dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YATOA SARE NA 'KITIMU' CHA DARAJA LA PILI UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top