Na Princess Asia, DAR ES SALAAM
SIMBA SC immrejesha Nahodha wake wa zamani, Nico Nyagawa kuwa Meneja wa timu, akichukua nafasi ya Abbas Ally ambaye anaondolewa.
Msimu uliopita Simba SC ilifanya mabadiliko ya benchi la Ufundi na Nyagawa akaondolewa nafasi yake ikichukuliwa na Abbas.
Nico Nyagawa (kulia) amerejeshwa kuwa Meneja wa Simba, akichukua nafasi ya Abbas Ally ambaye aliyeondolewa
Na kuelekea msimu mpya, uongozi wa Simba umeamua kumrejesha kiungo wake wa zamani, Nico Nyagawa baada ya kugundua mapungufu makubwa juu ya Abbas.
Na kikubwa kinachomuondoa Abbas Simba SC ni kushindwa kuwa kiunganishi kizuri kati ya makocha na wachezaji na wakati mwingine kujiruhusu yeye mwenyewe kuingia kwenye ugomvi na wachezaji.
SIMBA SC immrejesha Nahodha wake wa zamani, Nico Nyagawa kuwa Meneja wa timu, akichukua nafasi ya Abbas Ally ambaye anaondolewa.
Msimu uliopita Simba SC ilifanya mabadiliko ya benchi la Ufundi na Nyagawa akaondolewa nafasi yake ikichukuliwa na Abbas.
Nico Nyagawa (kulia) amerejeshwa kuwa Meneja wa Simba, akichukua nafasi ya Abbas Ally ambaye aliyeondolewa
Na kuelekea msimu mpya, uongozi wa Simba umeamua kumrejesha kiungo wake wa zamani, Nico Nyagawa baada ya kugundua mapungufu makubwa juu ya Abbas.
Na kikubwa kinachomuondoa Abbas Simba SC ni kushindwa kuwa kiunganishi kizuri kati ya makocha na wachezaji na wakati mwingine kujiruhusu yeye mwenyewe kuingia kwenye ugomvi na wachezaji.
0 comments:
Post a Comment