• HABARI MPYA

    Thursday, July 07, 2016

    GUARDIOLA ANAVYOIANDAA MAN CITY KUIVAA BAYERN MUNICH JULAI 20 ALLIANZ ARENA

    Kocha mpya wa Manchester City, Pep Guardiola akizungumza na wachezaji wake wakati wa mazoezi jana Uwanja wa Etihad mjini Manchester City kujiandaa na mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya dhidi ya timu yake ya zamani, Bayern Munich Uwanja Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani Julai 20, mwaka huu  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GUARDIOLA ANAVYOIANDAA MAN CITY KUIVAA BAYERN MUNICH JULAI 20 ALLIANZ ARENA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top