Kocha mpya wa Manchester City, Pep Guardiola akizungumza na wachezaji wake wakati wa mazoezi jana Uwanja wa Etihad mjini Manchester City kujiandaa na mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya dhidi ya timu yake ya zamani, Bayern Munich Uwanja Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani Julai 20, mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Official: Kouame leaves Fiorentina to join Aris
-
Christian Kouame has completed a permanent transfer from Fiorentina to
Greek Super League side Aris Thessaloniki, bringing his spell in Florence
to an end....
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment