Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe (wa tatu kutoka kushoto) akiwa rafiki zake mbalimbali akiwemo mshambuliaji wa zamani wa Nyota Nyekundu na Yanga SC, Dennis Mdoe (wa pili kulia walioketi kwenye sofa ) mjini Saint Louis Missouri, Marekani jana baada ya sala ya Eid El Fitri. Hans Poppe yuko Marekani kwa mapumziko hadi mwisho wa mwezi. Mdoe aliyewahi pia kucheza timu ya taifa, kwa sasa anaishi Marekani alipokwenda mwaka 1990 akitokea Botswana alipokwenda kucheza soka ya kulipwa
Artemis crew home safely after completing historic mission to the Moon
-
Four astronauts splashed down in the Pacific after a nine-day voyage that
took them further from Earth than any humans.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment