Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe (wa tatu kutoka kushoto) akiwa rafiki zake mbalimbali akiwemo mshambuliaji wa zamani wa Nyota Nyekundu na Yanga SC, Dennis Mdoe (wa pili kulia walioketi kwenye sofa ) mjini Saint Louis Missouri, Marekani jana baada ya sala ya Eid El Fitri. Hans Poppe yuko Marekani kwa mapumziko hadi mwisho wa mwezi. Mdoe aliyewahi pia kucheza timu ya taifa, kwa sasa anaishi Marekani alipokwenda mwaka 1990 akitokea Botswana alipokwenda kucheza soka ya kulipwa
Captain fantastic Bruno Fernandes is Man United's own superhero... the new
era at Old Trafford must be built around their Portuguese superstar, writes
NATHAN SALT
-
NATHAN SALT: Man United have their very own superhero in captain Bruno
Fernandes and INEOS must ensure the team of the future is built around him
starting ...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment