Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe (wa tatu kutoka kushoto) akiwa rafiki zake mbalimbali akiwemo mshambuliaji wa zamani wa Nyota Nyekundu na Yanga SC, Dennis Mdoe (wa pili kulia walioketi kwenye sofa ) mjini Saint Louis Missouri, Marekani jana baada ya sala ya Eid El Fitri. Hans Poppe yuko Marekani kwa mapumziko hadi mwisho wa mwezi. Mdoe aliyewahi pia kucheza timu ya taifa, kwa sasa anaishi Marekani alipokwenda mwaka 1990 akitokea Botswana alipokwenda kucheza soka ya kulipwa
Jake Paul targets return to boxing ring in 2026 after breaking jaw during
Anthony Joshua defeat
-
Jake Paulis targeting a return to the ring in 2026 and a move back down to
cruiserweight following his defeat to Anthony Joshua, according to Most
Valuable...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment