• HABARI MPYA

    Wednesday, July 06, 2016

    MOHAMMED HUSSEIN ‘MMACHINGA’ ALIVYOMALIZIA SOKA YAKE SIMBA SC

    Mshambauliaji Mohammed Hussein ‘Mmachinga’ (katikati) akifurahia na wachezaji wenzake wa Simba SC baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Safari Lager (sasa Ligi Kuu ya Vodacom) mwaka 2001 Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Chinga alicheza Yanga kuanzia mwaka 1993 akitokea Bandari ya Mtwara kabla ya kwenda Simba SC mwaka 2000 alikostaafia soka yake mwaka 2001
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOHAMMED HUSSEIN ‘MMACHINGA’ ALIVYOMALIZIA SOKA YAKE SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top