
Wachezaji wa Yanga, beki Juma Abdul (kushoto) akijadiliana na kiungo Mzimbabwe, Thabani Kamusoko (kulia) wakati wa mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana Julai 16, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.




.png)
0 comments:
Post a Comment