Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kufunga mabao yote mawili Ufaransa ikiilaza Ujerumani 2-0 katika mchezo wa Nusu Fainali ya Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille, Ufaransa. Griezmann alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 45 na ushei, baada ya kiungo Bastian Schweinsteiger kuunawa mpira kwenye boksi, wakati la pili alifunga 72 akimalizia mpira uliotemwa na kipa Manuel Neuer baada ya krosi ya kiungo Paul Pogba na sasa Ufaransa itakutana na Ureno katika fainali Jumapili Uwanja wa Stade De France mjini Paris PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This is what's next for Harvey Elliott after being cast out by Aston Villa
and Liverpool
-
TOM COLLOMOSSE: The scene is a corridor in the depths of Hill Dickinson
Stadium, shortly after Everton's 0-0 draw with Aston Villa last September.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment