Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kufunga mabao yote mawili Ufaransa ikiilaza Ujerumani 2-0 katika mchezo wa Nusu Fainali ya Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille, Ufaransa. Griezmann alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 45 na ushei, baada ya kiungo Bastian Schweinsteiger kuunawa mpira kwenye boksi, wakati la pili alifunga 72 akimalizia mpira uliotemwa na kipa Manuel Neuer baada ya krosi ya kiungo Paul Pogba na sasa Ufaransa itakutana na Ureno katika fainali Jumapili Uwanja wa Stade De France mjini Paris PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eagles DE Brandon Graham shouts 'Dallas sucks!' while onstage at 2024 NFL
Draft, before Philly selects Iowa CB Cooper DeJean
-
Eagles defensive end Brandon Graham couldn't help but take a shot at the
Cowboys when he was brought onstage to announce a pick on Friday night.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment