Mwanariadha Dina Asher-Smith akifurahia baada ya kuweka rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza Uingereza kushinda Medali ya Dhahabu ya mbio za Ulaya mita 200 kuelekea michezo ya Olimpiki mjini Rio, Brazil baadaye mwaka huu. Dina alitumia muda wa dakika 22 na sekunde 37 kumshinda mpinzani wake Ivet Lalova-Collio mjini Amsterdam, Uholanzi jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry accuses Arsenal of 'CELEBRATING too much' after Carabao Cup
semi-final victory over Chelsea: 'It's not the Champions League final'
-
John Terry has hit out at Arsenal for 'celebrating too much' after the
north London side beat Chelsea in the second leg of their Carabao Cup
semi-final to ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment