Mwanariadha Dina Asher-Smith akifurahia baada ya kuweka rekodi ya kuwa mwanamke wa kwanza Uingereza kushinda Medali ya Dhahabu ya mbio za Ulaya mita 200 kuelekea michezo ya Olimpiki mjini Rio, Brazil baadaye mwaka huu. Dina alitumia muda wa dakika 22 na sekunde 37 kumshinda mpinzani wake Ivet Lalova-Collio mjini Amsterdam, Uholanzi jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Formula 1 - Chinese Grand Prix qualifying: Star
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard and lap-by-lap
updates from the Chinese Grand Prix qualifying.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment