AZAM FC WANAVYOJIFUA CHINI YA MAKOCHA KUTOKA HISPANIA
Kocha Mkuu wa Azam FC, Zebensul Hernandez Rodriguez (kulia) akimpa maelekezo beki wa timu hiyo, David Mwantika katika mazoezi ya jana kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Kushoto ni winga aliyekuwa kwa mkopo Simba SC msimu uliopita, Joseph Kimwaga
Makocha kutoka Hispania wa Azam FC wakizungumza na wachezaji kabla ya kuanza mazoezi
Kocha Rodriegiez akiwa na Msaidizi wake namba moja, Jonas Garcia Luis (kulia)
Kiungo na Nahodha Msaidizi, Himid Mao akikokota mpira mazoezini jana
Makipa wakiwa kwenye mazoezi yao peke yao jana Uwanja wa Azam Complex
Wachezaji wa Azam FC wakinyoosha viungo mazoezini jana Chamazi
Makipa wa Azam FC wakifanya mazoei ya kukimbia jana
Makocha wa Hispania wakiwasimamia wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi ya kunyoosha viungo
Öffentliches Training am Dienstag in Brackel
-
Am Dienstag, 24. April 2024, ab ca. 10:30 Uhr trainieren Borussia Dortmunds
Profis auf dem Trainingsgelände Hohenbuschei in Brackel öffentlich.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment