• HABARI MPYA

    Saturday, July 09, 2016

    AZAM FC WANAVYOJIFUA CHINI YA MAKOCHA KUTOKA HISPANIA

    Kocha Mkuu wa Azam FC, Zebensul Hernandez Rodriguez (kulia) akimpa maelekezo beki wa timu hiyo, David Mwantika katika mazoezi ya jana kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
    Kushoto ni winga aliyekuwa kwa mkopo Simba SC msimu uliopita, Joseph Kimwaga
    Makocha kutoka Hispania wa Azam FC wakizungumza na wachezaji kabla ya kuanza mazoezi
    Kocha Rodriegiez akiwa na Msaidizi wake namba moja, Jonas Garcia Luis (kulia)
    Kiungo na Nahodha Msaidizi, Himid Mao akikokota mpira mazoezini jana 
    Makipa wakiwa kwenye mazoezi yao peke yao jana Uwanja wa Azam Complex
    Wachezaji wa Azam FC wakinyoosha viungo mazoezini jana Chamazi
     Makipa wa Azam FC wakifanya mazoei ya kukimbia jana 
    Makocha wa Hispania wakiwasimamia wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi ya kunyoosha viungo 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC WANAVYOJIFUA CHINI YA MAKOCHA KUTOKA HISPANIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top