Robson-Kanu akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Wales bao la pili dakika ya 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Wales aambayo itakutana na Ureno Julai 6 katika Nusu Fainali yamefungwa na Ashley Williams dakika ya 30 na Sam Vokes dakika ya 85, baada ya Ubelgiji kutangulia kwa bao la Radja Nainggolan dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Arsenal 'made last-minute offer' for Bayern Munich superstar in
the January transfer window - and he could now make the move in the summer
with exit confirmed
-
Arsenal reportedly made last-gasp swoop for a Bayern Munich midfielder at
the close of the January transfer window. Mikel Arteta's side tabled a bid
on dea...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment