UFARANSA YAFANYA MAUAJI EURO 2016, YAIFUMUA ICELAND 5-2
Kiungo Paul Pogba akienda hewani dhidi ya mabeki wa Iceland kuunganisha kona ya Antoine Griezmann kuifungia Ufaransa bao la pili katika ushindi wa 5-2 kwenye mchezo wa Robo Fainali ta yeuro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Olivier Giroud mawili, Dimitri Payet na Antoine Griezmann wakati ya Iceland yamefungwa na Kolbeinn Sigthorsson na Birkir Bjarnason. Ufaransa sasa itamenyana na Ujerumani katika Nusu Fainali ya pili Alhamisi, wakati Wales itamenyana na Ureno Jumatano katika Nusu Fainali ya kwanzaPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment