• HABARI MPYA

    Monday, July 04, 2016

    UFARANSA YAFANYA MAUAJI EURO 2016, YAIFUMUA ICELAND 5-2

    Kiungo Paul Pogba akienda hewani dhidi ya mabeki wa Iceland kuunganisha kona ya Antoine Griezmann kuifungia Ufaransa bao la pili katika ushindi wa 5-2 kwenye mchezo wa Robo Fainali ta yeuro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Olivier Giroud mawili, Dimitri Payet na Antoine Griezmann wakati ya Iceland yamefungwa na Kolbeinn Sigthorsson na Birkir Bjarnason. Ufaransa sasa itamenyana na Ujerumani katika Nusu Fainali ya pili Alhamisi, wakati Wales itamenyana na Ureno Jumatano katika Nusu Fainali ya kwanza  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA YAFANYA MAUAJI EURO 2016, YAIFUMUA ICELAND 5-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top