• HABARI MPYA

    Sunday, July 03, 2016

    PEP GUARDIOLA ALIVYOTAMBULISHWA RASMI MAN CITY LEO

    Kocha Pep Guardiola akitambulishwa katika klabu yake mpya, Manchester City ya England leo baada ya kuhamia kutoka Bayern Munich ya Ujerumani, aliyojiunga nayo mwaka 2013 kutoka Barcelona ya Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PEP GUARDIOLA ALIVYOTAMBULISHWA RASMI MAN CITY LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top