Kiungo Nampalys Mendy akiwa ameshika skafu ya mabingwa wa England, Leicester City baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 13 kutoka Nice ya Ufaransa, huyo akiwa mchezaji wa nne kusajiliwa na kocha Claudio Ranieri anayesuka kikosi cha Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kuwasajili Ron-Robert Zieler, Luis Hernandez na Raul Uche Rubio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea will 'rival Man City for Jamal Musiala' as Blues look to 'bring
former youth star back to England' after starring for Bayern Munich
-
Chelsea are ready to rival Manchester City for Jamal Musiala as Premier
League clubs keep tabs on the Bayern Munich star who has two years
remaining on his...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment