Kikosi cha Bandari Mtwara kikiwa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam kabla ya mechi ya Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1993 dhidi ya Simba SC. Bandari haikuwahi kutwaa ubingwa nchini, lakini itaendelea kukumbukwa kwa namna ambavyo ilikuwa inaisumbua Simba kila timu hizo zilipokutana, iwe Dar es Salaam au Mtwara
NFL Draft 2024: Round 1 Grades for Every Pick
-
The excitement for the 2024 NFL draft is palpable. It's not just fans,
whose hope for every draft pick knows no bounds. Even those within the
league are…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment