KIKUNDI cha masuala ya Ufundi cha Shirikisho la Soka Afrika (CAF-TSG) kimetaja kikosi Boa cha Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, huku wenyeji, Morocco na Senegalwalioibuka mabigww akitoa nyota wengi wakiongozwa na Yassine Bounou, Idrissa Gueye na Sadio Mané.
Nigeria, ambayo ilimaliza nafasi ya tatu imetoa wachezaji watatu ambao ni beki Calvin Bassey, winga Ademola Lookman na mshambuliaji, Victor Osimhen ambao walikuwa na mchango mkubwa kwa Super Eagles kwenye Fainali hizo.
KIKOSI CHA AFCON 2025
KIPA
Yassine Bounou (Morocco)MABEKI
Achraf Hakimi (Morocco)
Moussa Niakhaté (Senegal)
Calvin Bassey (Nigeria)
Noussair Mazraoui (Morocco)
VIUNGO
Ademola Lookman (Nigeria)
Pape Gueye (Senegal)
Idrissa Gueye (Senegal)
WASHAMBULIAJI
Brahim Díaz (Morocco)
Victor Osimhen (Nigeria)
Sadio Mané (Senegal)
Achraf Hakimi (Morocco)
Moussa Niakhaté (Senegal)
Calvin Bassey (Nigeria)
Noussair Mazraoui (Morocco)
VIUNGO
Ademola Lookman (Nigeria)
Pape Gueye (Senegal)
Idrissa Gueye (Senegal)
WASHAMBULIAJI
Brahim Díaz (Morocco)
Victor Osimhen (Nigeria)
Sadio Mané (Senegal)



.png)
0 comments:
Post a Comment