• HABARI MPYA

    Thursday, January 08, 2026

    MAKONDA NDIYE WAZIRI MPYA WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO


    RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa jimbo la Arusha, Paul Christian Makonda kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
    Katika uteuzi huo uliofanywa leo, Makonda anachukua nafasi ya Profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, Mbunge wa jimbo la Kilosa, Morogoro aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Ikulu (Kazi Maalum).



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAKONDA NDIYE WAZIRI MPYA WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top