Kiungo kinda wa miaka 20, Bertrand Traore akishangilia na mkongwe Diego Costa baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea katika ushindi wa 3-0 dhidi ya RZ Pellets kwenye mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa jana Uwanja wa Worthersee. Mabao mengine ya Chelsea inayoshinda kwa mara ya kwanza chini ya kocha mpya, Antonio Conte yalifungwa na Ruben Loftus-Cheek na Nathaniel Chalobah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah is 'DESTROYING' his Liverpool legacy: Wayne Rooney savages
angry Anfield hero after explosive Leeds rant - and says there is 'no way'
Arne Slot should let him back in the team
-
Rooney has called on Arne Slot to leave Salah out of his squads to face
Inter Milan and Brighton this week after the winger's outburst.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment