Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Mchemba (kushoto) akizungumza na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi Jumapili katika ukumbi wa hoteli ya Double Tree By Hilton, Masaki, Dar es Salaam wakati wa sherehe za utoaji wa tuzo za washindi mbalimbali wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu uliopita
Waziri Nchemba alionekana kuwa na mazungumzo muhimu na Malinzi siku hiyo
Na kuna wakati Nchemba alikuwa akimueleza jambo kwa msistizo Malinzi, ambaye alionekana kuwa mtulivu
Waziri Nchemba alionekana kuwa na mazungumzo muhimu na Malinzi siku hiyo
Na kuna wakati Nchemba alikuwa akimueleza jambo kwa msistizo Malinzi, ambaye alionekana kuwa mtulivu
0 comments:
Post a Comment