• HABARI MPYA

    Monday, July 18, 2016

    AZAM VETERANS YAWATANDIKA 3-2 SIMBA VETERANS

    Kikosi cha Azam Veterans kabla ya mchezo wa Kombe la Azam Fresco dhidi ya Simba Veterans jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Nahodha Abdulkafim Amin 'Popat' na Mussa Lumbi mawili, wakati ya Simba yalifungwa na Spear Mbwembwe na Masanja
    Manahodha wa timu zote mbili katika picha ya pamoja na marefa 
     Wachezaji wa timu zote mbili kabla ya mchezo huo jana
    Wachezaji wa akiba wa Azam Veterans wakiwa benchi jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM VETERANS YAWATANDIKA 3-2 SIMBA VETERANS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top