Bondia Deontay Wilder (kushoto) akimchapa konde Mmarekani mwenzake, Chris Arreola katika pambano lao la uzito wa juu usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Legacy Arena mjini Alabama, Marekani. Wilder alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya nane baada ya mpinzani wake kujiuzulu na kutetea taji lake la WBC uzito wa juu. Hata hivyo, Wilder alivunjika mkono katika pambano hilo, hivyo uwezekano wa kurudi ulingoni haraka kwa ajili ya pambano ama na Anthony Joshua au Tyson Fury ni mdogo sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden has flourished under Pep Guardiola's new tactics, delivered on
the biggest occasions and SMASHED his best ever goal tally... how the
England star went from supporting cast to Man City's main man
-
Phil Foden is now Manchester City's leading man, firing the Premier League
giants to a record fourth successive title and heavy favourite for PFA
Player of...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment