Kikosi cha Malindi 1995 ambacho kilifika Nusu Fainali ya Kombe la CAF mwaka 1995 na kutolewa kwa penalti 4-3 na Etoile du Sahel ya Tunisia baada ya sare ya jumla ya 1-1, kila timu ikishinda 1-0 nyumbani kwake. Ingeingia Fainali, Malindi ingekuwa timu ya pili ya Tanzania kufika hatua hiyo katika michuano hiyo, baada ya Simba SC mwaka 1993
Liverpool star delivers brutal dig at Everton after his side's last-gasp
Merseyside derby win as he reveals row with fans
-
It looked as though the points would be shared in the first Merseyside
derby at the Hill Dickinson Stadium, but Virgil van Dijk's late header
ensured Liver...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment