Kikosi cha Malindi 1995 ambacho kilifika Nusu Fainali ya Kombe la CAF mwaka 1995 na kutolewa kwa penalti 4-3 na Etoile du Sahel ya Tunisia baada ya sare ya jumla ya 1-1, kila timu ikishinda 1-0 nyumbani kwake. Ingeingia Fainali, Malindi ingekuwa timu ya pili ya Tanzania kufika hatua hiyo katika michuano hiyo, baada ya Simba SC mwaka 1993
Kool-Aid Mckinstry NFL Draft 2024: Scouting Report for New Orleans Saints CB
-
HEIGHT: 6'0" WEIGHT: 199 HAND: 8½" ARM: 32" WINGSPAN: 75⅞" 40-YARD DASH:
N/A 3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: N/A BROAD: N/A POSITIVES —
Long-armed defen...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment