Kelechi Iheanacho akiruka kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Leicester City dakika ya 14 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Jamie Vardy kwa penalti dakika ya 76 na Riyad Mahrez dakika ya 90, wakati la Arsenal limefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Just not good enough' - Klopp takes blame for derby defeat
-
Liverpool manager Jurgen Klopp says his side were "just not good enough" in
their 2-0 Premier League defeat to Merseyside rivals Everton at Goodison
Park.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment