Kelechi Iheanacho akiruka kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Leicester City dakika ya 14 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Jamie Vardy kwa penalti dakika ya 76 na Riyad Mahrez dakika ya 90, wakati la Arsenal limefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Coast Eagles forward allegedly involved in late-night brawl that has
left one man with a 'broken jaw'
-
The West Coast Eagles are investigating a street fight that allegedly
involved AFL player Tyler Brockman.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment