Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Argentina dakika za 17 kwa penalti, 58 na 66 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Haiti usiku wa kuamkia leo kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao Urusi. Bao lingine la Argentina limefungwa na Sergio Aguero dakika ya 69 Uwanja wa Alberto Jose Armando mjini Buenos Aires PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Texans' Dylan Horton announces he is cancer-free after Hodgkin's Lymphoma
diagnosis
-
The 23-year-old defensive end shared a touching Instagram Story of himself
banging a gong at hospital with family and friends to announce what is
likely to...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment