Wachezaji wa Fulham wakifurahia na Kombe lao baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Aston Villa, bao pekee la Nahodha Tom Cairney dakika ya 23 katika fainali ya mchujo wa Ligi Daraja la Kwanza England, maarufu kama Championship usiku wa jana Uwanja wa Wemblery, hivyo kufanikiwa kurejea Ligi Kuu msimu ujao wa 2018-19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Oleksandr Usyk has the ADVANTAGE over Tyson Fury in undisputed heavyweight
title fight, insists boxing legend Evander Holyfield... and there is only
one way the Gypsy King can win in Saudi Arabia
-
EXCLUSIVE BY CHARLOTTE DALY: Evander Holyfield believes Oleksandr Usyk has
the edge over Tyson Fury ahead of their historic unification bout in Saudi
Arabi...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment