Wachezaji wa Fulham wakifurahia na Kombe lao baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Aston Villa, bao pekee la Nahodha Tom Cairney dakika ya 23 katika fainali ya mchujo wa Ligi Daraja la Kwanza England, maarufu kama Championship usiku wa jana Uwanja wa Wemblery, hivyo kufanikiwa kurejea Ligi Kuu msimu ujao wa 2018-19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment