Kiungo wa Chelsea, N'Golo Kante akipambana na mchezaji wa Huddersfield Town, Aaron Mooy katoka mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Laurent Depoitre alianza kuifungia Chelsea dakika ya 50, kabla ya
Marcos Alonso kuisawazishia Chelsea dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcos Alonso kuisawazishia Chelsea dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment