• HABARI MPYA

    Friday, May 25, 2018

    REAL MADRID WALIVYOWASILI UKRAINE KUIVAA LIVERPOOL

    Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwasili mjini Kiev Alhamisi na kikosi kizima cha timu hiyo kwa ajili ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Liverpool usiku wa Jumamosi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID WALIVYOWASILI UKRAINE KUIVAA LIVERPOOL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top