Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Antony (kushoto) akiwapita mabeki wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vpdacom Tanzaian Bara jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 2-2
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akimtoka beki wa Ruvu Shooting
Wing wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya akimruka beki wa Ruvu Shooting
Kiungo mshambuliaji wa Ruvu Shooting, Khamis Mcha 'Viallia' akimiliki mpira mbele ya beki wa Yanga, Gardiel Michael
Pius Buswita (kushoto) akitafuta mbinu za kumpita mchezaji wa Ruvu Shootinhg
Kiungo chipukiiz wa Yanga, Maka Edward akimdibiti mchezaji wa Ruvu
Winga wa Yanga, Emmanuel Martin akiwatoka wachezaji wa Ruvu Shooting
Beki wa Yanga, Hassa Ramadhan 'Kessy' akiuwahi mpira dhidi ya mchezaji wa Ruvu Shooting
Kikosi cha Yaga SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam
Kikosi cha Yaga SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam
Oleksandr Usyk has the ADVANTAGE over Tyson Fury in undisputed heavyweight
title fight, insists boxing legend Evander Holyfield... and there is only
one way the Gypsy King can win in Saudi Arabia
-
EXCLUSIVE BY CHARLOTTE DALY: Evander Holyfield believes Oleksandr Usyk has
the edge over Tyson Fury ahead of their historic unification bout in Saudi
Arabi...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment