Mshambuliaji Mfaransa wa Chelsea, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa bao la kwanza dakika ya 40 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Jamhuri ya Ireland usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la pili la timu ya Didier Deschamps lilifungwa na Nabil Fekir anayetakiwa na Liverpool dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury RAGES at Oleksandr Usyk after heated final face-off at
weigh-ins, vowing to 'knock that little f****r spark out' as he loses his
head on eve of huge showdown
-
The Gypsy King, who has been hailed recently for his incredible body
transformation ahead of this bout, weighed in 29lbs (two stone) heavier
than his oppon...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment