• HABARI MPYA

    Thursday, May 10, 2018

    HARRY KANE AIPELEKA SPURS LIGI YA MABINGWA 2019

    Mshambuliaji Harry Kane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Tottenham Hotspur dakika ya 50, ikiilaza 1-0 Newcastle United usiku wa Jumatano wa Jumatano na kufanikiwa kukata tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa kujihakikishia kumaliza ndani ya timu nne za juu kwenye msimamlo w Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HARRY KANE AIPELEKA SPURS LIGI YA MABINGWA 2019 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top