• HABARI MPYA

    Tuesday, July 12, 2016

    LISBON 'YACHAFUKA WATU' MAPOKEZI YA URENO MABINGWA WA ULAYA

    Umati wa wananchi wa Ureno uliojitokeza kwenye maandamano ya kuwapokea wachezaji wa timu yao ya taifa mjini Lisbon Jumatatu wakirejea kutoka Ufaransa ambako jana waliwafunga wenyeji 1-0 na kutwaa Kombe la Euro 2016  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LISBON 'YACHAFUKA WATU' MAPOKEZI YA URENO MABINGWA WA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top