• HABARI MPYA

    Saturday, July 09, 2016

    SERENA WILLIAMS AZIMIA UWANJANI KWA FURAHA YA TAJI LA SABA LA WIMBLEDON

    Mcheza tenisi maarufu, Mmarekani Serena Williams akiwa amezimia uwanjani kwa furaha ya kutwaa taji la saba la Wimbledon mjini London leo baada ya kumfunga Mjerumani Angelique Kerber katika fainali ya wanawake kwa seti 2-0, akishinda 7-5 na 6-3 na kutimiza mataji 22 ya Grand Slam, hivyo kufikia rekodi ya Steffi Graf kama wanawake waliotwaa mataji mengi zaidi. Kwa ushindi huo, amezawadiwa Pauni Milioni 2 huku Angelique Kerber akipata Pauni Milioni 1 kwa kushika nafasi ya pili  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERENA WILLIAMS AZIMIA UWANJANI KWA FURAHA YA TAJI LA SABA LA WIMBLEDON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top