Mcheza tenisi maarufu, Mmarekani Serena Williams akiwa amezimia uwanjani kwa furaha ya kutwaa taji la saba la Wimbledon mjini London leo baada ya kumfunga Mjerumani Angelique Kerber katika fainali ya wanawake kwa seti 2-0, akishinda 7-5 na 6-3 na kutimiza mataji 22 ya Grand Slam, hivyo kufikia rekodi ya Steffi Graf kama wanawake waliotwaa mataji mengi zaidi. Kwa ushindi huo, amezawadiwa Pauni Milioni 2 huku Angelique Kerber akipata Pauni Milioni 1 kwa kushika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Skiing legend Lindsey Vonn, 41, CRASHES out of Winter Olympics as fairytale
comeback ends in heartbreak - after American opted to compete despite
rupturing her ACL
-
Lindsey Vonn's Winter Olympics comeback ended in disaster after the
American star crashed out of the women's downhill final.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment