Mcheza tenisi maarufu, Mmarekani Serena Williams akiwa amezimia uwanjani kwa furaha ya kutwaa taji la saba la Wimbledon mjini London leo baada ya kumfunga Mjerumani Angelique Kerber katika fainali ya wanawake kwa seti 2-0, akishinda 7-5 na 6-3 na kutimiza mataji 22 ya Grand Slam, hivyo kufikia rekodi ya Steffi Graf kama wanawake waliotwaa mataji mengi zaidi. Kwa ushindi huo, amezawadiwa Pauni Milioni 2 huku Angelique Kerber akipata Pauni Milioni 1 kwa kushika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Girona stars rushed to hospital after nasty training ground accident
with coach Michel admitting 'it looks bad'
-
Brazil international Yan Couto, 21, and Spanish centre-back Juanpe, 32,
both suffered injuries with coach Michel saying their situation 'looks bad'.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment