Mcheza tenisi maarufu, Mmarekani Serena Williams akiwa amezimia uwanjani kwa furaha ya kutwaa taji la saba la Wimbledon mjini London leo baada ya kumfunga Mjerumani Angelique Kerber katika fainali ya wanawake kwa seti 2-0, akishinda 7-5 na 6-3 na kutimiza mataji 22 ya Grand Slam, hivyo kufikia rekodi ya Steffi Graf kama wanawake waliotwaa mataji mengi zaidi. Kwa ushindi huo, amezawadiwa Pauni Milioni 2 huku Angelique Kerber akipata Pauni Milioni 1 kwa kushika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sunderland vs Tottenham - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Roberto De Zerbi's tenure begins as he aims to rescue side from
relegation plus Crystal Palace vs Newcastle and Nottingham Forest vs Aston
Villa
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for Sunday's 2pm Premier League games
featuring Sunderland vs Tottenham, Crystal Palace vs Newcastle and
Nottingham For...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment