Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilIa baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wales kwenye mchezo wa Nusu Fainali Fainali Euro 2018 usiku huu Uwanja wa Parc Olympique mjini Lyon, Ufaransa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Nani kwa pasi ya Ronaldo na sasa inakwenda fainali ambako itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya wenyeji Ufaransa dhidi ya Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andrew Benson answers your questions after Miami GP
-
BBC Sport's F1 correspondent Andrew Benson answers your questions following
Lando Norris' win at the Miami Grand Prix.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment