Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilIa baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wales kwenye mchezo wa Nusu Fainali Fainali Euro 2018 usiku huu Uwanja wa Parc Olympique mjini Lyon, Ufaransa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Nani kwa pasi ya Ronaldo na sasa inakwenda fainali ambako itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya wenyeji Ufaransa dhidi ya Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chelsea's matchday atmosphere is bizarrely criticised in the
Epstein Files - by a hedge fund manager who tried to arrange a meeting
between Roman Abramovich and convicted sex offender
-
A hedge fund manager named Tancredi Marchiolo emailed Jeffrey Epstein in
May 2016 to pass comment on the 'silent' atmosphere at British football
matches.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment