Basi la wachezaji wa Juventus likikatiza mitaa ya Jiji la Turin jana kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya Italia, maarufu kama Serie A. Kibibi Kizee hicho cha Turin kilitwaa taji hilo wikiendi iliyopita baada ya sare ya 0-0 na Roma siku chache baada ya kuchukua na Kombe la Italia kwa ushindi wa 4-0 dhidi ya AC Milan, kabla ya usiku wa jana kushinda 2-1 dhidi ya Hellas Verona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment