• HABARI MPYA

    Sunday, May 20, 2018

    SHABIKI ALIYEZIMIA JANA BAADA YA SIMBA KUFUNGWA NA KAGERA

    Shabiki wa Simba akiwa amebebwa na wenzake baada ya kupoteza fahamu kufuatia timu yake kufungwa 1-0 na Kagera Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jana  
    Mashabiki wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao baada ya kupoteza fahamu jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam 
    Mechi ya jana ilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli 
    Shabiki huyu aliwastaajabisha wengi juu ya kuzimia kwake
    Alikuwa amelegea kabisa na chanzo cha kupoteza kwake fahamu hakikujulikana mapema
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHABIKI ALIYEZIMIA JANA BAADA YA SIMBA KUFUNGWA NA KAGERA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top