Shabiki wa Simba akiwa amebebwa na wenzake baada ya kupoteza fahamu kufuatia timu yake kufungwa 1-0 na Kagera Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao baada ya kupoteza fahamu jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Mechi ya jana ilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli
Shabiki huyu aliwastaajabisha wengi juu ya kuzimia kwake
Alikuwa amelegea kabisa na chanzo cha kupoteza kwake fahamu hakikujulikana mapema
Keepers: We need to respect Coventry
-
Two of our stoppers are clear on what United's mindset should be at Wembley
on Sunday.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment