• HABARI MPYA

    Wednesday, May 09, 2018

    PSG WASHINDA 2-0 NA KUBEBA KOMBE LA 12 LA UFARANSA

    Wachezaji wa Paris Saint-Germain wakifurahia na Kombe la Ufaransa baada ya kuifunga timu ya Daraja la Tatu, Les Herbiers 2-0 mabao ya Giovani Lo Celso dakika ya 26 na Edinson Cavani dakika ya 74 kwa penalti jana Uwanja wa Stade de France  mjini Paris hilo likiwa taji lake la 12 la michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PSG WASHINDA 2-0 NA KUBEBA KOMBE LA 12 LA UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top