Wachezaji wa Paris Saint-Germain wakifurahia na Kombe la Ufaransa baada ya kuifunga timu ya Daraja la Tatu, Les Herbiers 2-0 mabao ya Giovani Lo Celso dakika ya 26 na Edinson Cavani dakika ya 74 kwa penalti jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris hilo likiwa taji lake la 12 la michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tom Brady Posts Training Video After Comments on Possibly Ending NFL
Retirement
-
After previously keeping the door open on a potential comeback, Tom Brady
is posting videos of himself training. In a four-second video on his
Instagram,…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment