Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba akimkabidhi Tuzo ya Mchezaji Mwenye Umri Mdogo Zaidi kucheza Ligi Kuu mwaka 1988, kiungo wa Yanga, Athumani China. Katika sherehe hizo zilizohuhudhuriwa na viongozi wengine wa chama (CCM) na Serikali wakiwemo Ukiwaona Ditopile Mzuzuri (sasa marehemu), Alhaji Mohamed Mussa na Fatuma Said Ally - Mheshimiwa Warioba pia alimkabidhi beki wa Reli, John Simkoko tuzo ya Mchezaji Mwenye umri mkubwa kuliko wote (miaka 40).
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment