Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba akimkabidhi Tuzo ya Mchezaji Mwenye Umri Mdogo Zaidi kucheza Ligi Kuu mwaka 1988, kiungo wa Yanga, Athumani China. Katika sherehe hizo zilizohuhudhuriwa na viongozi wengine wa chama (CCM) na Serikali wakiwemo Ukiwaona Ditopile Mzuzuri (sasa marehemu), Alhaji Mohamed Mussa na Fatuma Said Ally - Mheshimiwa Warioba pia alimkabidhi beki wa Reli, John Simkoko tuzo ya Mchezaji Mwenye umri mkubwa kuliko wote (miaka 40).
Footy great thought he was going to die when he saved teen from drowning in
a rip: 'I'm not going to make it'
-
Former Manly rugby league star Charlie Haggett has revealed how he thought
he'd drown at a NSW beach after saving a distressed boy who was caught in a
dang...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment