• HABARI MPYA

    Sunday, May 20, 2018

    JUMA KASEJA MIAKA 16 LIGI KUU, LAKINI NDIYO KAMA ANAIBUKA

    Kipa wa Kagera Sugar, Juma Kaseja akiwa ametulia chini baada ya kudaka mpira jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya timu yake ya zamani, Simba SC. Kaseja aliokoa penalti ya Mganda Emmanuel Okwi dakika ya 90 na kuisaidia Kagera Sugar kushinda 1-0 ugenini 
    Hapa Juma Kaseja anamtuliza refa Florentina Zablon wa Dodoma aliyemfuata kumkaripia kwa kupoteza muda 
    Florentina Zablon akimueleza Juma Kaseja kwa msistizo jana 
    Juma Kaseja (kushoto) na mabeki wake Mohammed Fakhi na Juma Nyosso, wote wachezaji wa zamani wa Simba wakiwa wamewawekea ulinzi washambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi na John Bocco   
    Juma Kaseja ambaye anacheza Ligi Kuu kwa mwaka wa 16 tangu aibukie Moro United mwaka 2002 akijimwagia maji jana wakati mchezo umesimama kwa muda 
    Juma Kaseja akidaka mpira mbele ya Emmanuel Okwi jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JUMA KASEJA MIAKA 16 LIGI KUU, LAKINI NDIYO KAMA ANAIBUKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top