Nyota wa Barcelona, Ousmane Dembele (kushoto) akimkaribia mchezaji mwenzake, Phillippe Coutinho kumpongeza kwa kufunga bao lake la kwanza dakika ya 87 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Villarreal usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Dembele alifunga mabao mawili, lingine dakika y 90 na ushei wakati mabao mengine ya Barca yalifungwa na Coutinho dakika ya 11 na 16 na Lionel Messi dakika ya 45, wakati la Villarreal limefungwa na Nicola Sansone dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New England Patriots win AFC East for the first time since Tom Brady was QB
as Bills' reign ends with heartbreaking loss
-
The last time they won it was at the end of the Belichick-Brady era, with
the quarterback leaving for the Buccaneers at the end of that season. Since
then,...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment