ANTHONY JOSHUA ACHAKAZWA MAREKANI, APIGWA KWA KO NA RUIZ
Bondia Muingereza Anthony Joshua akiwa chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Mmarekani mwenye asili ya Mexico, Andy Ruiz Jr Alfajiri ya leo ukumbi Madison Square Garden mjini New York kwenye pambano la uzito wa juu. Joshua amevuliwa ubingwa wa dunia wa uzito wa juu duniani baada ya kupigwa kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya saba. Ruiz hajawahi kuangushwa kabla, lakini naye leo alikalishwa chini raundi ya tatu, kabla ya kuinuka na kuendelea. Joshua mwenye urefu wa futi sita atajaribu kurejesha mataji yake ya IBF, WBA na WBO katika pambano la marudiano Novemba. Hilo ni pambano la kwanza Joshua kupoteza baada ya kushinda mapambano yake yote 22 ya awali, 21 kwa knockout, wakati Ruiz mwenye urefu wa futi nne ameshinda pambalo la 32 na 22 kwa KO, huku akiwa amepoteza pambano moja piaPICHA ZAIDI GONGA HAPA
U23: Niederlage nach Schlammschlacht gegen Essen
-
Es war ein bitterer Nachmittag für Borussia Dortmunds U23. Lange bot man
dem Tabellendritten der Regionalliga West einen intensiven Kampf, hatte
Chancen au...
Uganda U17 Girls Final Squad for CECAFA named
-
CECAFA Day one fixture-Monday Dec 9 Tanzania Vs Eritrea 11:00am Djibouti Vs
Kenya 1:30pm Uganda Vs Burundi 4:00pm Uganda U-17 girls team coach Ayub
Khali...
Guber election. Bauchi students endorse pate
-
Paul Orude, Bauchi Coalition of Bauchi State Students and Youths Movement
has endorsed Dr Muhammad Ali Pate of the People’s Democratic Party (PDP)
for ...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment