Nahodha Sergio Ramos akibusu nembo ya jezi wakati akishangilia baada ya kuifungia Hispania bao la kwanza kwa penalti dakika ya 64 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yamefungwa na Álvaro Morata kwa penalti pia dakika ya 85 na Mikel Oyarzabal dakika ya 87 na kwa ushindi huo wanaendelea kuongoza wakifikisha pointi 12 katika mchezo wa nne, wakifuatiwa na Romania na Sweden zenye pointi saba kila moja baada ya kucheza mechi nne pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten of the most hilarious social media blunders in football after Man United's Instagram Live error
-
After Manchester United made an accidental Instagram Live broadcast,
Sportsmail looks at other occasions where footballers and club staff have
made fundame...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment