Nahodha Sergio Ramos akibusu nembo ya jezi wakati akishangilia baada ya kuifungia Hispania bao la kwanza kwa penalti dakika ya 64 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yamefungwa na Álvaro Morata kwa penalti pia dakika ya 85 na Mikel Oyarzabal dakika ya 87 na kwa ushindi huo wanaendelea kuongoza wakifikisha pointi 12 katika mchezo wa nne, wakifuatiwa na Romania na Sweden zenye pointi saba kila moja baada ya kucheza mechi nne pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment