Mfungaji wa mabao matano ya Marekani, Alex Morgan (kushoto) katika ushindi wa 13-0 akimfariji mchezaji wa Thailand, Miranda Nild (kulia) baada ya kipigo hicho kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia la Wanawake Uwanja wa Auguste-Delaune II mjini Reims, Ufaransa Jumanne. Mabao mengine ya USA yalifungwa na Samantha Mewis na Rose Lavelle mawili kila mmoja, Lindsey Horan, Megan Rapinoe, Mallory Pugh na Carli Lloyd PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bournemouth sign Hungary midfielder Toth for £10m
-
Bournemouth sign Hungary international Alex Toth for £10.4m from
Ferencvaros, with the midfielder joining the Cherries on a
five-and-half-year contract.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment