Mfungaji wa mabao matano ya Marekani, Alex Morgan (kushoto) katika ushindi wa 13-0 akimfariji mchezaji wa Thailand, Miranda Nild (kulia) baada ya kipigo hicho kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia la Wanawake Uwanja wa Auguste-Delaune II mjini Reims, Ufaransa Jumanne. Mabao mengine ya USA yalifungwa na Samantha Mewis na Rose Lavelle mawili kila mmoja, Lindsey Horan, Megan Rapinoe, Mallory Pugh na Carli Lloyd PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment