Mfungaji wa mabao matano ya Marekani, Alex Morgan (kushoto) katika ushindi wa 13-0 akimfariji mchezaji wa Thailand, Miranda Nild (kulia) baada ya kipigo hicho kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia la Wanawake Uwanja wa Auguste-Delaune II mjini Reims, Ufaransa Jumanne. Mabao mengine ya USA yalifungwa na Samantha Mewis na Rose Lavelle mawili kila mmoja, Lindsey Horan, Megan Rapinoe, Mallory Pugh na Carli Lloyd PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ding Junhui seals his third UK Championship title with 10-6 win over Stephen Maguire in York
-
Ding Junhui surged to a third UK Championship title on Sunday night - 10
years after his last success. The 32-year-old Chinese superstar beat
Scotland's St...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment