Lionel Messi akimpongeza Lautaro Martinez baada ya kuifungia bao la kwanza Argentina dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali michuano ya Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Jornalista Mario Filho, Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil. Bao la pili lilifungwa na Giovani Lo Celso dakika ya 74 na sasa Argentina itamenyana na Brazil katika Nusu Fainali Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham vs Burnley - Premier League: Live score, lineups and updates
-
Jose Mourinho's side, amid a dismal run of form, find themselves nine
points off fourth spot ahead of the clash with Burnley. Follow all the
action from Su...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment