Lionel Messi akimpongeza Lautaro Martinez baada ya kuifungia bao la kwanza Argentina dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali michuano ya Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Jornalista Mario Filho, Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil. Bao la pili lilifungwa na Giovani Lo Celso dakika ya 74 na sasa Argentina itamenyana na Brazil katika Nusu Fainali Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment