Lionel Messi akimpongeza Lautaro Martinez baada ya kuifungia bao la kwanza Argentina dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali michuano ya Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Jornalista Mario Filho, Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil. Bao la pili lilifungwa na Giovani Lo Celso dakika ya 74 na sasa Argentina itamenyana na Brazil katika Nusu Fainali Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'David Beckham likes to be in control and is obsessed with perfection':
Ex-Man United team-mate who lived with former England captain for years
wades into Brooklyn row
-
The eldest son of David and Victoria, 26, at last broke his silence about
the feud which has torn the family apart with an explosive outburst on
Instagram.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment