Tyson Fury akishangilia baada ya kumshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya pili Mjerumani, Tom Schwarz katika pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa Alfajiri ya Jumapili ukumbi wa MGM Grand Arena mjini Las Vegas, Marekani. Baada ya ushindi huo, Tyson Fury maarufu kama Gypsy King atakuwa na pambano lingine mjini Las Vegas Septemba au Oktoba kabla ya kurudiana na Deontay Wilder mwaka mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bournemouth sign Hungary midfielder Toth for £10m
-
Bournemouth sign Hungary international Alex Toth for £10.4m from
Ferencvaros, with the midfielder joining the Cherries on a
five-and-half-year contract.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment