Tyson Fury akishangilia baada ya kumshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya pili Mjerumani, Tom Schwarz katika pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa Alfajiri ya Jumapili ukumbi wa MGM Grand Arena mjini Las Vegas, Marekani. Baada ya ushindi huo, Tyson Fury maarufu kama Gypsy King atakuwa na pambano lingine mjini Las Vegas Septemba au Oktoba kabla ya kurudiana na Deontay Wilder mwaka mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roger Federer Withdraws from 2021 Miami Open Ahead of Return from Injury
-
Roger Federer has withdrawn from the Miami Open scheduled to begin on March
24 as he makes his return from a knee injury. His agent told the Associated
Pre...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment