Beki wa Yanga, Andrew Vincent 'Dante' (kulia) akiruka kuokoa dhidi ya mshambuliaji wa Rayon Sport ya Rwanda, Shaaban Hussein katika mchezo wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam, timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Beki wa Yanga, Hassan Kessy akiwa juu ya mchezaji wa Rayon Sport katika moja ya pilika za mchezo wa jana
Winga wa Yanga, Yusuph Mhilu (kulia) akimtoka beki wa Rwanda
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akimtoka mchezaji wa Rayon Sport, Francois Mugisha
Kiungo wa Yanga, Pius Buswita (kulia) akimlamba chenga Francois Mugisha wa Rayon Sport
Beki wa Yanga, Hassan Kessy akiwatoka wachezaji wa Rayon Sport
Mshambuliaji Mrundi wa Yanga, Amissi Tambwe akipambna na beki wa Rayon Sport, Thierry Manzi
Winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya akimpita beki wa Rayon Sport
Kikosi cha Rayon Sport kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment